KRISMASI OYEEEEEEE!
Wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya christmas, BOMALOG ilishuhudia booonge la burudani. kwa kweli ilikuwa ni raha tele. ingawa hutopata uhondo huo kwa 100% hebu jionee matukio machache kati ya mengi yaliyoipamba sikukuu hiyo mjini Dodoma.
BOMALOG inakutakia maandalizi mema ya kupokea 2014!
Wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya christmas, BOMALOG ilishuhudia booonge la burudani. kwa kweli ilikuwa ni raha tele. ingawa hutopata uhondo huo kwa 100% hebu jionee matukio machache kati ya mengi yaliyoipamba sikukuu hiyo mjini Dodoma.
![]() |
Hotuba fupi ya ufunguzi. likuwa saaafi sana. |
![]() |
Jesca Nyange na kundi lake akiwaimbia wananchi wa mkoa wa Dodoma katika tamasha la krismas lililofanyika katika uwanja wa jamhuri. |
![]() |
Mary Sinkala Chotala wa Kisomali akionyesha uwezowake kwenye tamasha la krismas Dodoma |
![]() |
Jubilee Lugobo toka jijini Dar es laam akitawala jukwaa ndani ya viwanja vya jamhuri Dodoma katika tamasha hilo |
BOMALOG inakutakia maandalizi mema ya kupokea 2014!
Comments
Post a Comment